Jumamosi 27 Juni 2026 - 13:40
Matembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha

Hawza/ Waumini wa dhehebu la Shia mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro, wamefanya Matembezi ya Amani katika Siku ya Ashura 1448 H/2026, kwa lengo la kuenzi na kuhuisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa Imam Hussein (as), mjukuu wa Mtume Muhammad (saww), katika tukio la Karbala.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, Matembezi hayo yalifanyika katika mazingira ya utulivu na nidhamu, huku yakihusisha waumini wa rika mbalimbali waliovalia mavazi ya maombolezo na kubeba mabango yenye ujumbe wa amani, haki na kupinga dhuluma. Washiriki walisisitiza kuwa ujumbe wa Ashura unaendelea kuhamasisha jamii kusimamia ukweli, uadilifu na heshima ya utu wa binadamu.

Katika nasaha zilizotolewa, viongozi wa dini walieleza kuwa mapambano ya Imam Hussein (as) yalikuwa ni kwa ajili ya kulinda misingi ya Uislamu na maadili ya kibinadamu, hivyo ni wajibu wa waumini kuendelea kuenzi na kuishi kwa kuzingatia mafundisho hayo.

Matembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha Matembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha Matembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha Matembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha
Matembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha Matembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha Matembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha Matembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha
Matembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha Matembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha Matembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha Matembezi Mukubwa ya Ashura Yafanyika Jijini Moshi; Mapenzi ya Imam Hussein Yadhihirika kwa Waumini + Picha

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha